Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa aya za Qur’ani Tukufu, Usiku wa Qadr au Laylatul Qadr ni usiku wenye fadhila nyingi zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu. Usiku huu una sifa maalum na hadhi maalum sana miongoni mwa Waislamu.
Habari ID: 3476840 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/09
TEHRAN (IQNA) - Tunaingia kumi la mwisho la Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na hili ni kumi ambalo ndani yake kuna Laylatul-Qadr.
Habari ID: 3473866 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/01